Takwimu za Uelimishaji

KUMBUKA; #UsijisahauJaliAfyaYako #BadiliMtindoWaMaisha
Jukwaa hili linakuwezesha kupata elimu ya Afya kwa njia ya vipindi vilivyoendeshwa na kuhifadhiwa kutoka redio mbalimbali nchini
Hiki ni Kitengo maalumu ndani ya Wizara ya Afya kinachojihusisha na utoaji elimu na Uhamasisha Jamii kuhusu masuala ya afya.
Ni shirika lisilo la kiserekali linalofanya kazi kuhakikisha usawa katika upatikanaji wa huduma bora za afya, kwa kutathimini mifumo ya uwajibikaji katika sekta za afya na usimamizi wa fedha za umma katika ngazi zote za serikali.