Wizara ya Afya

JUKWAA LA KIDIJITALI LA ELIMU YA AFYA KWA UMMA

Afya Yangu, Mtaji Wangu

Wizara ya Afya

Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma

Edit Page

Utangulizi

Ki-muundo wa Wizara ya Afya; Kitengo kipo chini ya Idara ya Kinga kikitekeleza malengo yaliyoainishwa na Wizara. Ili kufikia lengo la kuchangia ustawi wa Taifa kupitia Elimu bora ya Afya kwa Umma, Kitengo kinaongozwa na Dira na Makusudio yanayowezesha utekelezaji wa majukumu hayo.

Dira

Kuwa na jamii yenye afya bora na ustawi ambayo inachangia kikamilifu katika maendeleo binafsi na ya nchi.

Dhamira

Kuhamasisha, kulinda na kurejesha Afya na Ustawi wa Jamii kwa kuzingatia na mipango sahihi, uratibiwa na kutolewa kufikia maendeleo endelevu ya Afya ya Jamii.

Programu

Huduma za Afya Shuleni

Huduma za Afya Shuleni

Mpango wa Taifa wa Elimu ya Afya Shuleni unajumuisha mikakati, shughuli na huduma...

Huduma za Afya ya Jamii

Huduma za Afya ya Jamii

Mpango wa Taifa wa Elimu ya Afya ya jamii inahusisha shughuli za uelimishaji, uhamasishaji na...

Elimu ya Afya

Elimu ya Afya

Uniti ya Mawasiliano ya Afya ni moja ya Uniti zilizo chini ya Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma cha...

Vitengo vidogo

Ili kurahisisha uratibu na utekelezaji wa majukumu yake makuu ambayo ni uelimishaji, uhamasishaji na ushirikishaji jamii katika masuala mbalimbali ya Afya. Kitengo hiki kimegawanyika katika vitengo vidogo vidogo ambavyo ni: 

  • Mawasiliano ya Afya na mabadiliko ya Tabia Jamii (Health Communication and Social Behavior Change, HC&SBC)
    • Studio
    • Printing
    • Afya Call Center
    • Content Review Committee
    • Risk Communication and Community Engagement (RCCE)   
  • Huduma za Afya Shuleni (National School Health Program, NSHP)   
    • Chekechea
    • Msingi
    • Sekondari
    • Chuo
  • Mpango wa Taifa wa Huduma za Afya ya Jamii (National Community Based Health Program, NCBHP)    
    • Mafunzo kwa Wahudumu wa Afya ya Jamii
    • Ushirikishaji na Uhamasishaji Jamii Afya
    • Huduma za Afya kwa makundi mbalimbali
  • Tathmini na Ufuatiliaji (M&E)
  • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano - TEHAMA (ICT)

Historia ya Kitengo cha Elimu ya Afya Kwa Umma

Kitengo hiki kilianzishwa rasmi na Wizara ya Afya mwaka 1957 kikiwa na majukumu ya kuelimisha, kuhamasisha na kushirikisha jamii masuala ya afya...

WASILIANA NASI

Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Wizara ya Afya

Mji wa Serikali - Mtumba,

S.L.P. 743,

40478 DODOMA.

+255-22-2342000/5

ps@afya.go.tz

Call Center: 199 | *199#